KARIBU SANA
JAYS & N COMPANY


Sisi ni kampuni iliyosajiriwa na yenye leseni ya kutoa huduma za ushauri wa kilimo na ushirika. Jukumu letu ni kuhakikisha kuwa wadau wa kilimo na ushirika wanafikiwa na kushirikishwa ipasavyo ili waweze kunufaika na uwekezaji wao.

Tunatoa Huduma za Ushauri na Usimamizi Katika Maeneo Yafuatayo.

KILIMO

*Kuandaa mpango na kalenda ya kilimo kwa msimu husika.
*Kuandaa makadirio ya gharama za uzalishaji wa mazao yote
kibiashara.
*Kusimamia shughuli za kilimo kuanzia maandalizi ya shamba mpaka uvunaji kwa mazao yote.
*Mafunzo na ushauri kuhusu mbinu na kanuni bora za kilimo kwa mazao yote, uchakataji wa mazao ya nyuki na mifugo.
*Kuwaunganisha wakulimana wa uzaji wa pembejeo bora za kilimo pamoja na masoko ya ndani na nje ya nchi.
*Usimamizi wa shughuli za mifugo na ufugaji.

VIKUNDI NA VYAMA VYA USHIRIKA

*Kuratibu uanzishwaji na uendeshaji wa vikundi vya kijamii na vyama vya ushirika.
*Kuendesha mafunzo kwa wanachama, viongozi wa vikundi /vyama vya ushirika na wafanyakazi wa Taasisi za umma na binafsi.
*Uandaaji wa katiba za vikundi na taasisi zisizo za kiserikali(Constitution), masharti ya vyama vya ushirika (By laws), mipango mikakati (Strategic plan), andiko mradi(Project proposal) na mipango biashara(Business plan).
*Kuandaa mpango kazi (Work plan) na mfumo wa usimamizi wa ubora(Quality Assurance System).
*Ukaguzi wa ndani kwa vikundi na vyama vya ushirika.

Tunatoa Ushauri wa Kilimo cha Kisasa na Usimamizi Kwa Mazao Yote

Mahindi

Usimamizi wa mahindi ,Kutoka mwazo kabisa hatua ya kuandaa shamba ,kuchagua mbegu bora ,upandaji mpaka hatua ya mavuno.

KILIMO CHA MAHARANGWE

Maharage

Pia tunafanya usimamizi wa kilimo bora na kisasa cha maharage kutoka hatua ya kuandaa shamba mpaka hatua ya kuvuna.

Mihogo

Kilimo cha kisasa cha mhogo,kwajili ya chakula na biashara,maandalizi ya shamba na mbegu bora na za kisasa. vuna zaid na Jays & N

Alizeti

Usimamizi wa uandaaji wa shamba ,mbegu bora ya alizeti kulingana na eneo lako,upandaji wa kisasa mpaka uvunaji wa kisasa.

Michikichi

Upandikizaji wa michikichi katika shamba lako,usimamizi wa kisasa na ushauli wa kilimo cha michikichi ili kupata mazao zaidi.

KILIMO CHA MPUNGA

Mpunga

Kilimo cha kisasa cha mpunga kwa kuzingatia vipimo vya kitaalam na mbegu bora .unawekeza kidogo na kupata faida zaid.

Kwanini utuchague sisi?

*Tuna uzoefu mkubwa kwenye usimamizi na ushauri kwenye shughuli za kilimo pamoja na ushirika.

*Tunapatikana wakati wowote na kwa gharama nafuu.

*Tunawataalam wa kutosha kukidhi mahitaji ya soko.

*Tunamtandao mkubwa wa kimasoko ndani na nje ya nchi.

kampuni makini.

Ushirikiano na wateja wetu.

Tunabadirika kuendena na wakati.

6 Years experience